get all latest and updated jobs news, interview tips,interview video

KAZI MTENDAJI KIJIJI III HALAMSHAURI YA WILAYA YA MBINGA, TUMA MAOMBI KABLA YA TAREHE 11 DECEMBER 2017



KAZI MTENDAJI KIJIJI III HALAMSHAURI YA WILAYA YA MBINGA, TUMA MAOMBI KABLA YA TAREHE 11 DECEMBER 2017

 
NAFASI ZA KAZI MTENDAJI KIJIJI III HALAMSHAURI YA WILAYA YA MBINGA

Mkurugenzi  wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga anakaribisha maombi ya nafasi za kazi  kutoka kwa Watanzania wote  wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi tajwa hapo juu
 
MTENDAJI KIJIJI NAFASI 12

SIFA ZA MWOMBAJI
- mwenye elimu ya kidao cha IV au VI aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo Utawala , Sheria, Elimu ya jamii usimamizi wa fedha  maendeleo ya jamii na sayansi ya jamii kutoka chuo cha Serikali za mitaa Homboro Dodoma au chochote  kinacho tamblika na serikali

KAZI NA MAJUKUMU
- Afisa masuuli na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Mitaa
- kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mali zao
- kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa mipnago ya maendeleo ya kijiji
- kutafsiri na kusimamia Sera, Sheria na Taratibi
- katibu wa mikutano ya kamatai zote za  Halmashauri ya KIJIJI
- kuandaa taaraifa za utekelezaji wa kazii katika eneo lake na kuhamasisha  wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa Njaa, Umskini na kuongeza uzalishaji  wa mali
- Kiongozi mkuu wa vitengo vya kitaalam kijijini
- kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbu kumbu zote za nyaraka za kijiji

MSHAHARA 
- atalipwa mshahara wa TGS B1

MASHARTI YA JUMLA
- waombaji wawe raia wa Tanzania na wenye umri kati ya miaka 18 hadi 45
- muombaji awasilishe picha moja ya hivi karibuni

- waombaji wawasilishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (CV) yenye anauani  na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ma 3 ya wadhamini wa kuaminika
- waombaji wote waambatanishe nakala ya cheti halis vya masomo  na taaluma na atakaye wasilisha result slip, statement of results provisional results au transcripts havitakubaliwa
- kwa waliosoma nje ya nchi elimu ya kidato cha 4 na kidato cha sita wawasilishe  uthibitisho wa kutoka NECTA
- kwa walio maliza vyuo vikuu nje wawasilishe uthibitisho kutoka tcu
- WOTE WATAKAO KUWA SHORTLISTED ndio watakaoitwa kwenye usaili 
- maombi yasiozingatia vigezo hayata shughulikiwa

mwisho wa kupokea maombi nitarehe 11/12/2017 saa 9:30 alasiri 

MUHIMU :- kumbuka kuambatanisha barua yako ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu.  maombi yatumwe kwa 

 
MKURUGENZI MTENDAJI,
HALMASHAURI YA WILAYA MJI,
S.L.P 135,
MBINGA

TANGAZO PIA LINAPATIKANA KWENYE TOVUTI YA HALMASHAURI YA MJI WA MBINGA www.mbingatc.go.tz 








👉👉👉>>>LATEST JOBS >>>CLICK HERE FOR LATEST JOBS MORE THAN 100 DIFFERENT POSITION ➦➥CLICK HERE FOR ALL LATEST JOBS NEWS FROM MORE THAN 50 DIFFERENT COMPANY IN TANZANIA
DON'T  MISS ANOTHER JOBS NEWS OPPORTUNITY EVERY DAY
Join over 500,000 people who get notified daily. Send to us  your Email Address or whatsApp number to our office e mail adress known as thedon9t@gmail.com
after that you will start receiving jobs news every time for free
  • Send to us your E mail address or whats App number inorder to put you in list of people who receive our jobs news every time, Send your  E mail or whatsApp number to our office e mail address >> thedon9t@gmail.com
  • Also like our FACEBOOK  page known as  MAKI INSPIRE for more jobs news and motivation and inspiration issues  or  click here to like our facebook page 
  • Also Follow us on  Instagram for our account known as mr_motivation_icon
                         
  JOB NEWS BLOG        
All latest daily new Jobs in Tanzania  Visit ➦➥ New Jobs blog
 Warning ⇶ Don’t Pay Money To Get A Job

Share:

No comments:

Enter your name and e mail.

Popular JOBS NEWS

Labels

Blog Archive

LATEST JOBS NEWS

Pages