get all latest and updated jobs news, interview tips,interview video

NAFASI 7 ZA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA.,mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 22 novemba 2017 saa9:30 alasiri



 
👉👉👉>>>LATEST JOBS >>>CLICK HERE FOR LATEST JOBS MORE THAN 100 DIFFERENT POSITION ➦➥CLICK HERE FOR ALL LATEST JOBS NEWS FROM MORE THAN 50 DIFFERENT COMPANY IN TANZANIA
NAFASI 7 ZA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA.

NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA
Halmashauri inatangaza nafasi za kazi kwa watu wenye sifa za maafisa watendaji wa vijiji kufuatia kupata kibali cha ajira Mbadala kama ifuatavyo
MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III NAFASI 7
SIFA ZA MWOMBAJI
- awe amehitimu elimu ya kidato cha 4 au 6
- aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo Utawala , Sheria, Elimu ya jamii usimamizi wa fedha  maendeleo ya jamii na sayansi ya jamii kutoka chuo cha Serikali za mitaa Homboro Dodoma au chochote  kinacho tamblika na serikali
- awe na umri usiozidi miaka 45
KAZI/MAJUKUMU YA MTENDAJI WA KIJIJI
- kukusanya mapato ya Halmashauri ya kijiji
- kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mali zao kuwa mlinzi wa amani na msimamizi wa utawala bora katika kijiji
- kuratibu na kusimamia  upangaji wa utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya kijiji
- kuandaa tarifa za utekelezaji katika eneo lake  na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kuetekeleza mikakati ya kuuondoa umaskini na ujinga na malazi
- kiongozo wa wakuu wa vitengo vya kitaalamu katika kijiji
- kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote  na yaraka za kijiji
- mwenyekiti wa wataalamu wote walioko kijijini
- kupokea kusikiliza na kutatua matatizo yote  na migogoro yote ya wananchi
- kusimamia utungaji wa sheria ndogo za kijiji
    NGAZI YA MSHAHARA TGSB 1
MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI
- mwombaji awe mtanzaniana umri usizidi miaka 45
- waombaji waambatanishe cheti cha kzaliwa
- waombaji waambatanishe maelezo binafsi yenye anuani na namba za simu  za kuaminika pamoja na wadhamini wawili
- maombi yaambatane na picha 2 passport size, vyeti vya taaluma, vyeti vya kidato cha 4 na 6, wale waliofikia kiwango  hicho cheti cha kuhitimu mafunzo mbali mbali kwa kuzingatia  sifa zinazoendana nao
- testimonials na provisional results  havitakubaliwa
- waombaji wenye vyeti vya kidato ha 4 na 6 waliosoma nje wanatakiwa kuwasilisha uthibitisho wa NACTE
- waombaji waliostaafishwa Utumishi  wa Umma hawataruhusiwa kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Kaibu mkuu
- mwisho wa kutuma maombi ni tarehe  22 novemba 2017 saa9:30 alasiri
- maombi yatakayo wasilishwa nje ya utaratibu  ulioainishwa katika tangazo hayatakubaliwa

maombi yatumwe kwa
MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA,
HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA,
S.L.P 528,
MTWARA




👉👉👉>>>LATEST JOBS >>>CLICK HERE FOR LATEST JOBS MORE THAN 100 DIFFERENT POSITION ➦➥CLICK HERE FOR ALL LATEST JOBS NEWS FROM MORE THAN 50 DIFFERENT COMPANY IN TANZANIA
DON'T  MISS ANOTHER JOBS NEWS OPPORTUNITY EVERY DAY
Join over 500,000 people who get notified daily. Send to us  your Email Address or whatsApp number to our office e mail adress known as thedon9t@gmail.com
after that you will start receiving jobs news every time for free
  • Send to us your E mail adress or whatsApp number inorder to put you in list of people who receive our jobs news evey time, Send your  E mail or whatsApp number to our office e mail adress>>thedon9t@gmail.com
  • Also like our FACEBOOK  page known as  MAKI INSPIRE for more jobs news and motivation and inspiration issues  or  click here to like our facebook page 
  • .
                         
  JOB NEWS BLOG        
All latest daily new Jobs in Tanzania  Visit ➦➥ New Jobs blog
 Warning ⇶ Don’t Pay Money To Get A Job

Share:

No comments:

Enter your name and e mail.

Popular JOBS NEWS

Labels

Blog Archive

LATEST JOBS NEWS

Pages